Valeria (miaka 4)
Walakini Kuku na Nyota walikuwa wanagombana wakati wowote na makelele ya ugomvi wao yalikuwa yanawasumbua waliokaa mbinguni. Kwa sababu ya makelele ya watoto wagomvi hata Jua, baba yao, hakutaka kukaa tena nyumbani siku nzima kwa hiyo alikuwa anarudi alasiri kasiri kila siku.

Mara moja Jua alimwambia Mwezi, bibi yake: "Unaona watoto wako wanavyonikasirika? Nitawatupa duniani hivi sasa, ili wanagombane kule".
hex87.jpg
Riccardo (miaka 5)
Mwezi alimjibu: "Kweli Kuku ni wagombi sana. Pengine wanataka kuhamia duniani, kutembea shambani wale nyungunyungu, ambao hapa hawakuwepo,

< ukurasa wa 2 - Mwanzo - ukurasa wa 4 >